Nina uraibu wa picha za utupu (Pornography)

kingine mtoa mada tafuta kadem ambako ya ni unaona unakamudu vizuri kabisa na huna hofu

usitafute dem wa mashauzi wanakataga stimu sana
umeongea jambo la msingi sana kaka🙏🏼🙏🏼
 
Kuacha siyo kazi rahisi dawa upate dem atakayekuwa karibu na ambaye hakuzungushi ukijiskia, yaani ukifululiza mechi tano tu utaleta mrejesho
shukrani sana bro nitafanyia kazi ushauri wako
 
Porn ni tatizo KUBWA SANA.
 
Mara ya kwanza niliweza kuacha nyeto kwa siku 47 lakin siku ya 48 nili relapse nikarud kwenye nyeto... Kwasababu niliianza kuwa na msongo wa mawazo sana.. kwa sasa nataka nianze upya challenge ya kuacha nyeto na ninaamini nitafanikiwa japo ni ngum sana kuacha nyeto Hali ya kuwa sina dem na mm ni rijali kabisa, ila kwa madhara ya nyeto yalivyo sina budi kutangaza kustaafu
 
Dah huku chini ulivyomaliza
 
Uoga wako ndio upungufu wako wa nguvu za kiume ..ondoa hofu ndugu unapokua na huyo demu wako .hakika utaleta mrejesho hapa
 
Pole sana Boss...
Huwezi kuacha Nyeto km Huna dem na hauko bizee sana otherwise utakuwa unachukua rikizo afu unarejea kwenye mtanange...
 
mzee baba utachanganyikiwa zaidi pale demu kaja geto siku umemvua alafu ile unapambana kuingiza tu wazungu hawa apa
unabaki unawaza umekosea wapi mbona king nasir anasugua 30mins wewe sekunde tu tiari😆😆😆
ndo hapo sasa unaingia steji nyingine mara oooo sina nguvu za kiume unaanza kunywa juis za pweza kwa fujo mara alkasus
na sasa hivi hadi watoto wana smartphns ili tatizo litasumbua sana uko mbele aiseee yaani litakua fursa kabisa kwa wajanja uko mbeleni
 
Heri Mimi nyeto sijawahi kupiga ila porn naangalia sana miaka kumi na kitu Bado nazicheki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…