Nina uvimbe kwenye chuchu moja la upande wa kulia na lnazidi kuvimba tu sasa miaka mitatu

Nina uvimbe kwenye chuchu moja la upande wa kulia na lnazidi kuvimba tu sasa miaka mitatu

Joined
Oct 1, 2024
Posts
5
Reaction score
3
Mimi ni kijana wa kiume nina uvimbe kwenye chuchu moja la upande wa kulia na lnazidi kuvimba tu sasa miaka mitatu tangu lianze kuvimba naombeni ushauri nifanyeje na matibabu nayapataje
 
Mimi ni kijana wa kiume nina uvimbe kwenye chuchu moja la upande wa kulia na lnazidi kuvimba tu sasa miaka mitatu tangu lianze kuvimba naombeni ushauri nifanyeje na matibabu nayapataje
Wanaume pia wana uwezo wa kupata breast cancer though kwa kiwango kidogo.. So nduugu ni vyema ukaenda kuchek hali yako hospitali na kujua suluhisho lake..
 
Mimi ni kijana wa kiume nina uvimbe kwenye chuchu moja la upande wa kulia na lnazidi kuvimba tu sasa miaka mitatu tangu lianze kuvimba naombeni ushauri nifanyeje na matibabu nayapataje

Pole sana.

Nenda hospitalini ukaonane na daktari kwa ajili ya uchunguzi na vipimo ili uweze kusaidiwa kwa usahihi.

Kila la kheri.
 
Nenda hospitali ndugu, diagnosis za mitandaoni unaweza jikuta unazimia.
 
Sio kila uvimbe ni saratani zipo kuna vimbe za kawaida na kuna vimbe za saratani.
Muhimu ni uende hospital kubwa ukafanye vipimo.
 
Kama walivyo tangulia wenzangu nenda hospital then uje utupe mrejesho .
 
"
Wanaume pia wana uwezo wa kupata breast cancer though kwa kiwango kidogo.. So nduugu ni vyema ukaenda kuchek hali yako hospitali na kujua suluhisho lake..
"Nje Ya Mada"Figa Hiyo Na Huo Upaja Kwenye Dp,Wacha Nijichukulie Sheria Mkononi,,,Kwani Sh Ngapi??
 
WAHI HISPITAL DADA.
WAHI HARAKA HOSPITAL IKIWEZEKANA UJE DSM KWA VIPIMO ZAIDI.

(OCEAN ROAD).
 
Kama uko Dar, nenda Ocean Road Hospital, ukafanyiwe uchunguzi.
Sahihi kabisa Tena wahi mapema mambo yakiwa bado hayajafika mbali, ocean road wanashughulika na maradhi ya Kansa na uvimbe huo huenda ni hiyo, ila usiogope watu wanatibiwa na wanapona, kumbuka nenda haraka kabla hujaanza kuumwa utakuwa sawa. Asante.
 
Back
Top Bottom