Munirah seiph
Senior Member
- Aug 14, 2017
- 108
- 107
Wanakuja wanaohitaji watu wenye "udhoefu".[emoji124][emoji124][emoji124]
All the best mwanatabata
Nitumie namba yako ya simu.
Nakupigia.0673712132
Nakupigia.
Usirudie kuweka namba hapa jukwaani,una elimu ya cheti kuhusu kazi zipi?0673712132
Miaka 26 umeshafanya kazi sehemu nne.
Tatizo ni wewe au hao waajiri wako?
Usirudie kuweka namba hapa jukwaani,una elimu ya cheti kuhusu kazi zipi?
Sawa... Nimejieleza hapo juu nina udhoefu wa computer
Nakupigia.
Hayo ni mambo ya mapenzi uwe muwaziUnapofanya kazi sehemu flan especially kwa mtu binafs na akaanza kukuchukulia kama ndugu basi yale makubaliano yenu huwa yanapotea na kuwa kama mwanafamilia wa ile sehemu mara zote kwa jins tunavyokuwa tunaishi katika kazi huwa wanahsi kwamba najitoa kama mwanafamilia wanajisahau kwenye swala la mshahara na hiko ndo kinanifanya nishindwe kuendelea sasa sijui hapo tatizo ni mimi au waajiri wangu
Tatizo la kuweka namba ya simu ni lipi?sababu kaedit ingekua busara na wewe kufuta hii comment yako ili no yake isiendelee kuonekana