Nina wasi wasi na chanjo hizi

rushanju

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
3,238
Reaction score
5,106
mimi nina wasiwasi na chanjo hizi ingawa sio daktari. Ninaomba ushauri wakina kutoka kwa wenye ujuzi hasa suala la chanjo hizi mpya za kichomi na kuhara. Ninachojua ni kwamba kuhara ni hali ya mwili kutaka kujisafisha hasa pale mtu anapokuwa kapata maabukizo katika njia ya chakula. Kuharisha usahidia sana kupunguza sumu au bakteria ambao watakuwa wameingia tumboni. Nauliza hii chanjo itakuwa msaada au kero? Mi niniachojua nikwamba magonjwa yote yenye chanjo mtu akiugua huwa ni maramoja kama ukipona huwezi kuupata tena ugonjwa huo. Je? Mtu anaweza kuharisha na hasiharishe tena maishani? Au kichomi huja mara moja tu? Jamani naomba ushauri.
 
si ndo hapo. baada ya miaka kumi wanasema ugunduzi umeonyesha hizi chanjo zina matatizo
 
Nina hamu ya kutaka kukujibu,ila kabla ya hapo ningependa na wewe kwa uelewa wako utujibie maswali haya:

1.Unakubali kuwa visababishi(causes) za kuhara sio moja tu zipo nyingi,na zinatofautiana?

2.Una hakika kuwa hakuna haja ya kutibu kuhara kwa kuwa ni hali ya kawaida ya mwili kujisafisha?

3.Unayajua magonjwa mangapi ambayo mtu akiugua ndio amekuwa amepata chanjo yake maisha yote?

4.Unajua mechanism ambavyo chanjo zinafanya kazi?

5.Je,wewe unaelewa vipi kitu kinachoitwa chanjo?

Ukishajibu hayo nitarudi tudiscuss kila kitu kuhusu hizi chanjo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…