Nina wasiwasi Messi atafunga magoli 50 ligi kuu Ufaransa

Nina wasiwasi Messi atafunga magoli 50 ligi kuu Ufaransa

denooJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
18,509
Reaction score
68,228
Kwa namna yule kiumbe alivyo moto, na anavyojua kuupiga mwingi, sioni ni kwa nini asifunge magoli hamsini kwa msimu mmoja huko Ufaransa, labda kwa roho yake nyeupe aamue kuwapa assist kina Neymar na Mbappe ili nao waonekane wako PSG, vinginevyo Messi ana unavu wa kutupia hata zaidi ya goli hamsini pale Ligue 1.
 
Back
Top Bottom