Nina wasiwasi na aliyekuwa mwenyekiti wa Simba anaitaka tena nafasi yake ili aifunge Yanga

Nina wasiwasi na aliyekuwa mwenyekiti wa Simba anaitaka tena nafasi yake ili aifunge Yanga

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nimekuwa nikifuatilia sana mahojiano ya huyu muha akizungumzia kufungwa kwa Simba na Yanga kila mara.

Ninaanza kuwa na mtizamo tofauti juu ya azma yake kwa Simba. Huyu mtu anahitaji kuwa mwenyekiti na hivyo hata mkifanyaje, ataendelea kushirikiana na adui Simba ifungwe ili mumtimue mwenyekiti aliyepo sasa ambaye ameshindwa kabisa kuifunga yanga

Nami nasema,ahadi ya manara kwa yanga kuchukua ubingwa back to back hakuna wa kuipinga


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Uko konbe la kina mama hamna mnalofanya mwishowenu siku zote ni robo.
Mna choma moto viwanja vya watu kwa ushirikina lakini mwishowe ni robo
Acha wivu Chura, sema ukifika robo unaondoka na Tsh ngapi na ukiishia makundi inakuaje.
 
Nimekuwa nikifuatilia sana mahojiano ya huyu muha akizungumzia kufungwa kwa Simba na Yanga kila mara.

Ninaanza kuwa na mtizamo tofauti juu ya azma yake kwa Simba. Huyu mtu anahitaji kuwa mwenyekiti na hivyo hata mkifanyaje, ataendelea kushirikiana na adui Simba ifungwe ili mumtimue mwenyekiti aliyepo sasa ambaye ameshindwa kabisa kuifunga yanga

Nami nasema,ahadi ya manara kwa yanga kuchukua ubingwa back to back hakuna wa kuipinga


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Bado amjasema Yani mpaka mtasema,,unafungwa bila goli la penalty Wala kadi nyekundu lazima muwe na wazimu tu!
 
Kwani nyie mashabiki wa Mbumbumbu fc hamuoni kwa macho yenu kuwa Yanga na Simba zinatofautiana kwa ubora uwanjani?

Ai nyie mna angalia mpira upi?
Utopolo wazee wa match fixing
 
Back
Top Bottom