kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,964
Nimependa kujitokeza kwa majozi mazito katika ukurasa huu kuwatetea wananch jinsi mambo yalivyo katika wizara ya elimu ambayo ndo tunaitegemea kama dira ya elimu na maendeleo hapa nchini
wao kama ndo viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza wizara ya elimu nina wasiwasi na elimu zao
Ni hivi karibuni wizara imetoa matangazo ambayo imeyatuma kwa wakuu wa vyuo vikuu kote nchini ikiwataka wanafunzi mbalimbali ambao wanasomea fani tofauti na Ualimu watume Maombi wizarani ili wapewe kazi za kufundisha katika mashule mbalimbali hapa nchini. wazo hilo ni zuri
wasiwasi wangu unakuja pale walimu ambao walikua kazini walipoomba kwenda kusoma fani zingine waliambiwa kua watakaporudi hawatatambuliwa kwa elimu hiyo waliyoenda kusomea
wao kama ndo viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza wizara ya elimu nina wasiwasi na elimu zao
Ni hivi karibuni wizara imetoa matangazo ambayo imeyatuma kwa wakuu wa vyuo vikuu kote nchini ikiwataka wanafunzi mbalimbali ambao wanasomea fani tofauti na Ualimu watume Maombi wizarani ili wapewe kazi za kufundisha katika mashule mbalimbali hapa nchini. wazo hilo ni zuri
wasiwasi wangu unakuja pale walimu ambao walikua kazini walipoomba kwenda kusoma fani zingine waliambiwa kua watakaporudi hawatatambuliwa kwa elimu hiyo waliyoenda kusomea