juakal
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 587
- 123
Wakuu nimejichanga nikapata kiasi flani cha pesa. Sasa nataka nitumie hii hela kujenga chumba babu kubwa cha duka na stoo hapa mtaani kwetu.
Itanigharimu kama 5 million maana kiwanja tayari kipo. Na hadi hapo nitakuwa nimeishiwa cash.
Sasa nataka nikishajenga nitumie hilo jengo kama dhamana ya kupatia mkopo, na nifungue biashara hadimu katika eneo hili kama nilivyo survey.
Haya ni mawazo na mipango yangu, nimeona ni vizuri nililete hapa maana wapo wenye uzoefu na taaluma mbali mbali. Kwahiyo naombeni ushauri wenu katika hili.
Pia naomba kufahamishwa taasisi za kifedha zinazotoa mikopo kwa mashariti na riba nafuu.
Natanguliza shukrani.
Itanigharimu kama 5 million maana kiwanja tayari kipo. Na hadi hapo nitakuwa nimeishiwa cash.
Sasa nataka nikishajenga nitumie hilo jengo kama dhamana ya kupatia mkopo, na nifungue biashara hadimu katika eneo hili kama nilivyo survey.
Haya ni mawazo na mipango yangu, nimeona ni vizuri nililete hapa maana wapo wenye uzoefu na taaluma mbali mbali. Kwahiyo naombeni ushauri wenu katika hili.
Pia naomba kufahamishwa taasisi za kifedha zinazotoa mikopo kwa mashariti na riba nafuu.
Natanguliza shukrani.