Nina wazo la biashara lakini sina mtaji

Nina wazo la biashara lakini sina mtaji

SEKI MTULIA

Member
Joined
Apr 6, 2018
Posts
5
Reaction score
5
Habari wana JF,

Kwa majina naitwa Seki Mlekoni Mtulia mwenye umri wamiaka 23 nayeishi Dar Es Salaam- Mbagala. Nina wazo labiashara/mbinu yakuingiza profit safi.

Biashara inaitwa IQ option ambayo mpaka sasa nina mwaka 1.5 nikifanya practice kwakutumia unvisual and real fund.

Mlolongo wa Profit ipo ivi:-

Nina trade kwa 2% ya mtaji wangu × 4 kwa siku nzima ambayo nitakuwa napata 8% kama profit day.

Kiasi ninachowaza ni millioni tatu na nusu(3500000) ambayo niapproximate ya $1500. Ivo itakuwa ivi:-

SIKU1. 2%×1500=$30×4 = 120.
SIKU2. 2%×1500=$30×4= 120. Kwa mwezi siku 20 itakuwa 120×20= 2400$ ambayo ni sawa na sh/=5400000 faida. Huo ni mwezi wa kwanza tu.

Elimu in kidato cha nne tu, sikufanikiwa kufaulu(2012). Tunaweza kufanya kazi hiyo kwa muda mfupi tukafika mbali ama kunikopa kiasi iko baada ya mwezi nitakurejeshea kwa riba nzuri.

Asante.
 
Habari wana JF. Kwa majina naitwa SEKI MLEKONI MTULIA mwenye umri wamiaka 23 nayeishi Dar es salaam- Mbagala. Nina wazo labiashara/mbinu yakuingiza profit safi. Biashara inaitwa IQ option ambayo mpaka sasa Nina mwaka 1.5 nikifanya practice kwakutumia unvisual and real fund. Mlolongo wa Profit ipo ivi:- NINA TRADE KWA 2% YA MTAJI WANGU × 4 KWASIKU NZIMA AMBAYO NITAKUWA NAPATA 8% KAMA PROFIT/DAY. KIASI NACHOWAZA KUANZA NACHO NI Millioni Tatu Na nusu(3500000) Ambayo niapproximate ya $1500. Ivo itakuwa ivi:- SIKU1. 2%×1500=$30×4 = 120. SIKU2. 2%×1500=$30×4= 120. KWAMWEZI SIKU 20 ITAKUWA 120×20= 2400$ Ambayo ni sawa na sh/=5400000 Faida. HUWO NI MWEZI WA KWANZA TU. Elimu in kidato cha nne tu, sikufanikiwa kufaulu(2012) . Tunaweza kufanya kazi iyo kwamda mfupi tukafika mbali ama Kunikopa kiasi iko baada ya mwezi nitakurejeshea kwariba nzuri. Asante.
Mbunge mtulia wa kinondon ni ndugu yako?
 
Benki wana mtaji ila hawana wazo la biashara,nendeni mkaunganishe resource zenu mfanye kazi
 
IQ OPTION Sio rahisi kama unavyodhani kiongozi bora ukacheze taaaatu mzukaaaaa huenda siku Mungu akakuona labda uniambie ni strategy gani inakuaminisha wewe ukataka kukopa then ukaweke kwenye Gambling platform ya IQ OPTION? Utakuja kukimbia mji huu ndugu yangu ile platform sio ya kuiingia kichwa kichwa inanyonya pesa kama jini mnyonya damu acha kabisa bora uweke elfu 20 then uikuze kama unaiamini hiyo strategy yako elfu 20 ni mtaji mzuri tu kama unaweka plan nzuri kwa siku na uzuri wa IQ OPTION hawafungi ni mpaka weekend kazi kazi kwa mwezi ninakuambia unaweza ukapiga $100 kupitia elfu 20 yako lakini hiyo pesa yenye unataka kuiweka huko ndugu yangu kama unaishi kwenu utajikuta unauza nyumba yenu na wazazi unawauza wakiwa humo humo ndani.
USITHUBUTU
 
IQ OPTION Sio rahisi kama unavyodhani kiongozi bora ukacheze taaaatu mzukaaaaa huenda siku Mungu akakuona labda uniambie ni strategy gani inakuaminisha wewe ukataka kukopa then ukaweke kwenye Gambling platform ya IQ OPTION? Utakuja kukimbia mji huu ndugu yangu ile platform sio ya kuiingia kichwa kichwa inanyonya pesa kama jini mnyonya damu acha kabisa bora uweke elfu 20 then uikuze kama unaiamini hiyo strategy yako elfu 20 ni mtaji mzuri tu kama unaweka plan nzuri kwa siku na uzuri wa IQ OPTION hawafungi ni mpaka weekend kazi kazi kwa mwezi ninakuambia unaweza ukapiga $100 kupitia elfu 20 yako lakini hiyo pesa yenye unataka kuiweka huko ndugu yangu kama unaishi kwenu utajikuta unauza nyumba yenu na wazazi unawauza wakiwa humo humo ndani.
USITHUBUTU
s
 
Back
Top Bottom