MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Nina aina ya Biashara yangu ndo napambana kuanzisha wakati wowote ila nina wasiwasi sana na hii Biashara na wasiwasi sio kwenye kushindwa au kukosa soko hapana.
Wasiwasi wangu ni kwamba huenda makampuni makubwa yaka copy na kuanza kuzalisha na nikajikuta nafunga biashara.
Nina uhakika kuna makampuni kama Azam, au MO au wakina Jambo food, na wengine wanao zalisha Drinks na Vyakula watacopy mapema sana na hao wana mitaji mikubwa sana.
Ingawa hadi dakika hii hio Idea hakuna sehemu iko implemented nchi hii ila punde nikifungua watu macho nina uhakika nitashindwa kwa sababu wataingia Giant wenye pesa na kila kitu.
Kuna wakati nawaza kuipiga Chini ili nisije wafaidisha hao Giant, na kuna wakati nasema potelea mbali.Make nisha jaribu mara kadhaa kuipiga chini kwa sababu hio ya kuhofia kukopy.
Na Copy ninayo ihofia sio ya watu wadogo hapana nahofia makampuni kama MO au AZAM au wengineo. Hawa ndo ninao wahofia mno
Kwenda kuwauzia Idea siko tiyari kwa sababu Bongo kuuza Idea ni ujinga na unaweza usifaidike chochote na hakuna sheria za kumlinda mtoa Idea.
Hata yule Mkenya Mwanzilishi wa Mpesa nazani leo hii anajuta vibaya mno kwa kuwapa idea Safaricom.
Kwa kifupi Africa ukiuza Idea utakuwa masikini tu.
Nisaidieni.
Wasiwasi wangu ni kwamba huenda makampuni makubwa yaka copy na kuanza kuzalisha na nikajikuta nafunga biashara.
Nina uhakika kuna makampuni kama Azam, au MO au wakina Jambo food, na wengine wanao zalisha Drinks na Vyakula watacopy mapema sana na hao wana mitaji mikubwa sana.
Ingawa hadi dakika hii hio Idea hakuna sehemu iko implemented nchi hii ila punde nikifungua watu macho nina uhakika nitashindwa kwa sababu wataingia Giant wenye pesa na kila kitu.
Kuna wakati nawaza kuipiga Chini ili nisije wafaidisha hao Giant, na kuna wakati nasema potelea mbali.Make nisha jaribu mara kadhaa kuipiga chini kwa sababu hio ya kuhofia kukopy.
Na Copy ninayo ihofia sio ya watu wadogo hapana nahofia makampuni kama MO au AZAM au wengineo. Hawa ndo ninao wahofia mno
Kwenda kuwauzia Idea siko tiyari kwa sababu Bongo kuuza Idea ni ujinga na unaweza usifaidike chochote na hakuna sheria za kumlinda mtoa Idea.
Hata yule Mkenya Mwanzilishi wa Mpesa nazani leo hii anajuta vibaya mno kwa kuwapa idea Safaricom.
Kwa kifupi Africa ukiuza Idea utakuwa masikini tu.
Nisaidieni.