Nyote mnajua kwamba ule muarobaini tulioahidiwa na TANESCO kwamba mgao wa umeme ungekwisha, SASA HAUPO TENA.
Kinachotakiwa ni kuiweka TANESCO kando na kusonga mbele.
Nina mawazo thabiti kuhusu nini kifanyike. Mwenye maoni sawa na yangu tuwasiliane kwa PM.