Bornventure
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 529
- 523
Nina eneo kubwa zuri tu lipo barabarani. katika kiwanj a kuna maji pia umeme Ktk utafiti wangu nimeona ktk eneo lote linalohusisha kata kama 3 hivi au zaidi hakuna NURSERY SCHOOL kabisaa . na uhitaji wa huduma hii ni mkubwa saana ila sina capital kuanzisha hiyo shule Naomba kama kuna watu mwenye interest na hii biashara tuwasiliane Mimi nitatoa hili eneo . karibuni