Nina wivu nashindwa hata kumeza mate!

eeh!mzee kumbe ukiamua huwa unnaandika maposti marefu hivi?😀😀

Nikiamuaga nashuka mistari uspimie kabisa tena kama hii imenikasirisha kabisa mambo ya wivu siyazimikii hata kidogo tena kama umezidi ndo kabisaaaaa
 
Nikiamuaga nashuka mistari uspimie kabisa tena kama hii imenikasirisha kabisa mambo ya wivu siyazimikii hata kidogo tena kama umezidi ndo kabisaaaaa
yaaaaah!THAT'S MY PAL

kuna jamaa aliimba
''WIVU SINAAAAA ILA ROHO INAUMAA MAAAMAAA...!''
 
Nikiamuaga nashuka mistari uspimie kabisa tena kama hii imenikasirisha kabisa mambo ya wivu siyazimikii hata kidogo tena kama umezidi ndo kabisaaaaa

Hivyoe? Haya bana! Noted!
 


utakufa mapema mno mno ....mweh wivu gani huu? hebu jiepushe na ma pressure na kisukari bwana.
 
Binamu mzima lakini? it seems xmas break wifi alikupeleka tanga maana naona unazijua taarabu kweli siku hizi.😀


hehehe mzima binamu...ila ndo ivo tena apo sichomoki, ukishikwa shikamana!😀 ila sina wivu ki ivyo kama huyu Annina😕
 


mnazidi kum confuse huyu dada...tatizo ni nini kumpa zilipendwa wake lifti? mbona watu mpo sensitive kihivyo.
 
utakufa mapema mno mno ....mweh wivu gani huu? hebu jiepushe na ma pressure na kisukari bwana.

we usiniambia side effects za wivu ni kubwa hivo?!!! my days are numbered!!
 
nimependa sana camel na hoja zake za mitalimbo! hahahah lazima ujivunie makamuzi halali.

ukiendelea hivi, nitakutafutia nafasi nzuri kwenye assessment yangu ijayo, probably utakuwa group moja na x-pin. tehetehe
 
Tabia zisizo za kawaida zinatibiwa kwa maombi, matambiko na msaada wa kisaikolojia tu.
Chagua tiba moja kati ya hizo.
 

hiyo imenifanya nikugongee the most important button hapa!!! hahaaaaa we kiboko!!!
 
Haya 2010 hiii. wacha nikae vizuri..... huu wivu umezidi kupita kiasi, atakuchoka huyo mume!!!!!! jitulize kama ni wako ni wako hata umfunge kamba mguuni akitaka kukutenda bado atafanya....
 
Haya 2010 hiii. wacha nikae vizuri..... huu wivu umezidi kupita kiasi, atakuchoka huyo mume!!!!!! jitulize kama ni wako ni wako hata umfunge kamba mguuni akitaka kukutenda bado atafanya....
shishi kila siku unamuulizia x-pin haya yupo hapa leo hebu m-piemu muongee,umpe pole ya msiba n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…