Nina wivu nashindwa hata kumeza mate!

moyo wa kijasiri haunabudi kupongezwa kaka! Kumbeka bado tupo kwenze majonzi ya MC lakini

Naniliu ni SHE edit phrase yako kwa manufaa ya wengi
 
Nahama thread kwa sababu yako wewe

JS unamgwaya Iribini......we can team up and put him in his place!!! usihame mreembo shemeji yangu ndivyo alivyo but he is very sweet and loving!!! stay, sawa cutie????
 
hahahhhaaa! ikiwa ni supu ya paya atajuaje kama alikuwa mbuzi wake sasa/!!!!

Watakupruvia biyond rizonebo daut kwamba hiyo supu ya paya ni ya mbuzi aliyeibwa! Lawyers bana! Achana nao kabisa
 
Afu na wewe! Kwani mwanasheria wewe? Hahaha!

sio lakini najua basics hata nilikamatwa na police najua haki yangu hahaaaaaa lol!!!

ila hapo juu we muongo sana...."doctrine of recent pocession" kwenye supu??? kama ni ya mbwa je???
 
Ni kawaida kushangaa, akikua ataacha, ana bahati huna mdomo kama wa yule wa mlimani city! hahahahah
Nna hasira na wewe ndio maana! Ilikuwaje sasa ukamkataza asije kukesha na mimi msibani kule Marangu? Miwivu tu imekujaa wewe, huna lolote!
 
JS unamgwaya Iribini......we can team up and put him in his place!!! usihame mreembo shemeji yangu ndivyo alivyo but he is very sweet and loving!!! stay, sawa cutie????

Sawa BHT adhawaizi nilikuwa niko mlangoni naondoka kama si wewe nisingerudi jamvini.
 
JS unamgwaya Iribini......we can team up and put him in his place!!! usihame mreembo shemeji yangu ndivyo alivyo but he is very sweet and loving!!! stay, sawa cutie????

Shauri yenu, Geoff hayuko mbali. Tutadumisha MILA na nyie! Jaribuni muone!
 
Sawa BHT adhawaizi nilikuwa niko mlangoni naondoka kama si wewe nisingerudi jamvini.

kaa nasi mwaya hana lolote huyu....defence mechanism yake ni maneno tu!!!
 
sio lakini najua basics hata nilikamatwa na police najua haki yangu hahaaaaaa lol!!!

ila hapo juu we muongo sana...."doctrine of recent pocession" kwenye supu??? kama ni ya mbwa je???

Hiyo bold Machale yananicheza
Hiyo blue Geoff atajibu. Si unajua projekti itafanyikia Iringa? Kule wow! wow! wow! ndo msosi wa heshima!
 

Vpingele vyote hivyo 1-6 vinaashiria hiyo ya bluu na muda sio mrefu hiyo redi itapeperuka!

By the way, mmekuwa wachumba kwa muda gani na mnategemea kukamilisha hiyo nyekundu lini? For sure, kwa hali hii ndani ya miezi 6 tangu kufahamiana hadi ndoa, sijui has ukizingatia cv yake inaonyesha kuwa kiasi zinamtembelea na safari za hapa na pale.
Kwa wivu huu na hofu ya kukosa ndio msiochelea kwenda kuwafix wenzenu, USHINDWE katika hili.
 
Kwa kawaida tuna-prefer diplomasia. Ikishindikana tuta-apply za ki- George Bush!

utagonga mwamba hizo zote hapa haziapply.....hahaaaa!!! dunisha na kina eliza tu kule!!!
 
Hiyo bold Machale yananicheza
Hiyo blue Geoff atajibu. Si unajua projekti itafanyikia Iringa? Kule wow! wow! wow! ndo msosi wa heshima!

kwa nini machale yanakucheza????

kule ukienda lazima hiyo mboga ule even wizaut yua nolegi mzee!!!
 
kama ni wivu umebadilisha kila alichonacho mbona hujabadilisha nanihiii yake wakati unajua ilikuwa inatumika kwa mpenzi aliyepita. Ningekuwa mimi ningekupiga chini. Unaonekana hujatulia na wala humwamini in conclusion huna love wewe, you are too materialistic, utaishia kujiua tu.

Acha ujinga!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…