Bishanga huyu yuko lupango.
Lupango (ban)? Ama ya Keko?
Lupango (ban)? Ama ya Keko?
Keko hii hii ambayo ni keko nadhani anaingia mwaka wa tatu sasa.
Mniwie radhi ninayemuongelea mimi ni Bishanga na si huyu Bishanga Abashaija
WaooooooMerry Christmas.
Nina kapu la Zawadi kwa ajili ya wana Jf hawa. Kuipata inabidi kuni pm.
Bishanga Abashaija
Baba V
Chimbuvu
Nicas Mtei
cacico
Nifah
Madame B
charminglady
Watu8
Passion Lady
Ladyfurahia
St. Paka Mweusi
Arusha One
Arushaone
cacico
Na wengine nilio wasahau.
Merry Christmas
Umetumia vigezo gani kuwachaguaMerry Christmas.
Nina kapu la Zawadi kwa ajili ya wana Jf hawa. Kuipata inabidi kuni pm.
Bishanga Abashaija
Baba V
Chimbuvu
Nicas Mtei
cacico
Nifah
Madame B
charminglady
Watu8
Passion Lady
Ladyfurahia
St. Paka Mweusi
Arusha One
Arushaone
cacico
Na wengine nilio wasahau.
Merry Christmas
Bishanga huyu yuko lupango.
My apologies for any offense caused by my quoting you.
However, ni kweli Bishanga yupo jela au unatania tu?
Alikuwa swahiba wangu mzuri sana na ghafla akapotea tu bila taarifa na imekuwa ni miaka kadhaa sasa. Sikujua ni nini kilichompata....
Kweli amefungwa jela/ gerezani?
Na Mie nilimlenga huyu mkuuMniwie radhi ninayemuongelea mimi ni Bishanga na si huyu Bishanga Abashaija
Aiseeeh;!Thanks but there was no need to apologize. Let bygones be bygones we’re all humans and we’re not perfect.
Huyu jamaa ni kweli yuko ndani. Na kesi yake bado inasua sua kwa kipindi kirefu kwa madai kwamba “uchunguzi bado unaendelea”
Sina uhakika tuhuma anazotuhumiwa nazo kama zina ukweli wowote au la ila magazeti yalianza kumuandika vibaya kuhusu utendaji wake na maamuzi yake hatimaye wakamdaka.
Kama hana lawyer mzuri wa kudai haki ya huyu sitashangaa akiendelea kuwa lupango kwa miaka mitatu au hata zaidi.
I wish ningemjua in person, ningekwenda,mpa poleThanks but there was no need to apologize. Let bygones be bygones we’re all humans and we’re not perfect.
Huyu jamaa ni kweli yuko ndani. Na kesi yake bado inasua sua kwa kipindi kirefu kwa madai kwamba “uchunguzi bado unaendelea”
Sina uhakika tuhuma anazotuhumiwa nazo kama zina ukweli wowote au la ila magazeti yalianza kumuandika vibaya kuhusu utendaji wake na maamuzi yake hatimaye wakamdaka.
Kama hana lawyer mzuri wa kudai haki ya huyu sitashangaa akiendelea kuwa lupango kwa miaka mitatu au hata zaidi.
I wish ningemjua in person, ningekwenda,mpa pole
Sababu...Keko hii hii ambayo ni keko nadhani anaingia mwaka wa tatu sasa.
Dunia hii sijui ikoje na walimwengu wake...Thanks but there was no need to apologize. Let bygones be bygones we’re all humans and we’re not perfect.
Huyu jamaa ni kweli yuko ndani. Na kesi yake bado inasua sua kwa kipindi kirefu kwa madai kwamba “uchunguzi bado unaendelea”
Sina uhakika tuhuma anazotuhumiwa nazo kama zina ukweli wowote au la ila magazeti yalianza kumuandika vibaya kuhusu utendaji wake na maamuzi yake hatimaye wakamdaka.
Kama hana lawyer mzuri wa kudai haki ya huyu sitashangaa akiendelea kuwa lupango kwa miaka mitatu au hata zaidi.
We mwana zawadi yangu nitumie kwa tigopesa nimeku pm, fwanya harakaMerry Christmas.
Nina kapu la Zawadi kwa ajili ya wana Jf hawa. Kuipata inabidi kuni pm.
Bishanga Abashaija
Baba V
Chimbuvu
Nicas Mtei
cacico
Nifah
Madame B
charminglady
Watu8
Passion Lady
Ladyfurahia
St. Paka Mweusi
Arusha One
Arushaone
cacico
Na wengine nilio wasahau.
Merry Christmas
Sure, wengi watakuwa wanamfahamu kimtaa ila ku match na id ndo ngumu. Privacy be maintainedBahati mbaya siwezi kuweka jina lake la ukweli hapa. Namuonea huruma hata kama tuhuma ni za kweli kwani kwa kipindi kirefu alikuwa hajafikishwa mahakamani hadi hivi karibuni na wakili wa Serikali kudai uchunguzi bado unaendelea.
Huu ndio uzuri wa JfSure, wengi watakuwa wanamfahamu kimtaa ila ku match na id ndo ngumu. Privacy be maintained