sonzawileme
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 502
- 284
kama upo serious njoo DM nikupe mtu wa kukuongoza ili upateNinabiashara ya duka la chakula nilihitaji MKOPO KUTOKA BANK ni ipi Branch nawezafanikiwa mkopo ikizingatia Vigezo hivi nilivyo navyo-:
-TIN NUMBER
-LESENI YA BIASHARA
-HATI YA KIWANJA
-NYUMBA
-BIASHARA YENYEWE
Nb; Location nipo Dar if any nisaidie mawasiliano WhatsApp 0769946412
kama upo serious njoo DM nikupe mtu wa kukuongoza ili upateNinabiashara ya duka la chakula nilihitaji MKOPO KUTOKA BANK ni ipi Branch nawezafanikiwa mkopo ikizingatia Vigezo hivi nilivyo navyo-:
-TIN NUMBER
-LESENI YA BIASHARA
-HATI YA KIWANJA
-NYUMBA
-BIASHARA YENYEWE
Nb; Location nipo Dar if any nisaidie mawasiliano WhatsApp 0769946412
Sawaakama upo serious njoo DM nikupe mtu wa kukuongoza ili upate
ok utanipa contact zako nikucheki kama jumamosi au siku ukiwa free ili jambo lianze jumatatuSawaa
NashukuruMaendeleo bank
Ndugu hii ishu ya mkopo nenda bank branch yoyote upate maelezo kamili. Achana na janja janja ya kuonana na mtu akusaidie, pia usiende kwenye microfinance au imarisha au bayport wote hao ni matapeli. Utalizwa muda sio mrefu. Kuwa makini sanaNinabiashara ya duka la chakula nilihitaji MKOPO KUTOKA BANK ni ipi Branch nawezafanikiwa mkopo ikizingatia Vigezo hivi nilivyo navyo-:
-TIN NUMBER
-LESENI YA BIASHARA
-HATI YA KIWANJA
-NYUMBA
-BIASHARA YENYEWE
Nb; Location nipo Dar if any nisaidie mawasiliano WhatsApp 0769946412
DM kuna nin!? Kwa nini si hapa!? Huyo jamaa anafanya kazi bank!?kama upo serious njoo DM nikupe mtu wa kukuongoza ili upate
Kama biashara yko isha anza na una wateja wakutosha na uhakika wa kurudisha hiyo fesdha upo . Achana na mkopo wa benki. Kuna watu sikuhizi wamesajiliwa wanatoa mikopo ila utarudsha na riba kwa makubaliano. Nadhan ukiwauliz au ukidadis wafany biashar wenzako wataua wanawafaham mkakubalianeNinabiashara ya duka la chakula nilihitaji MKOPO KUTOKA BANK ni ipi Branch nawezafanikiwa mkopo ikizingatia Vigezo hivi nilivyo navyo-:
-TIN NUMBER
-LESENI YA BIASHARA
-HATI YA KIWANJA
-NYUMBA
-BIASHARA YENYEWE
Nb; Location nipo Dar if any nisaidie mawasiliano WhatsApp 0769946412
Kwanini useme microfinance au bayport ni matapeli kumbuka anayepewa mkopo ni ana akili timamu ndio maana kuna mikataba hujazwa kabla ya mkopo kuhidhinishwaNdugu hii ishu ya mkopo nenda bank branch yoyote upate maelezo kamili. Achana na janja janja ya kuonana na mtu akusaidie, pia usiende kwenye microfinance au imarisha au bayport wote hao ni matapeli. Utalizwa muda sio mrefu. Kuwa makini sana