Ninachojiuliza kuhusu ya wanyama mwitu

Ninachojiuliza kuhusu ya wanyama mwitu

Nuraty J

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2018
Posts
1,729
Reaction score
3,831
Habarini,

Kuna kitu kimenishangaza kwa wanyama wa mwituni. Mfano, nilikuwa naangalia channel ya wanyama muda huu, kuna Chui jike ana watoto watatu anakanao kwenye pango. Akitaka kutoka kuhamia kwingine vinamfuata nyuma.

Kilichoniacha hoi ni pale mama yao anapoinuka kutaka kwenda kuwinda hawamfuati bali hubakia na wakati mwingine huingia ndani ya pango kabisa kujificha. anapoondoka safari nyingine tofauti na kuwinda huwa watoto wanamfuata nyuma. Kwa upande wa Simba jike na wanaye pia huwa hivyohivyo.

Ninachojiuliza. Je, wanyama kuna lugha wanaongea na watoto wao na wakawaelewa au inakuaje?

Napenda kuangalia sana wanyama na maisha yao
 
Viumbe wote duniani wanawasiliana kwa namna yao.Kilichokutofautisha wao na wewe ni nikwasababu wewe una ulimi unaoweza kuumba herufi kwaiyo unauwezo wakuzungumza.Ila Kama ambavyo binadamu anaweza kufanya mawasiliano na baadhi ya wanyama wengine wakamwelewa ndivyo ambavyo nawanyama wengine wanaweza kuwasiliana wao kwa wao kwa njia mbali mbali kuanzia sauti,mingurumo,vitendo hadi harufu.
 
Viumbe wote duniani wanawasiliana kwa namna yao.Kilichokutofautisha wao na wewe ni nikwasababu wewe una ulimi unaoweza kuumba herufi kwaiyo unauwezo wakuzungumza.Ila Kama ambavyo binadamu anaweza kufanya mawasiliano na baadhi ya wanyama wengine wakamwelewa ndivyo ambavyo nawanyama wengine wanaweza kuwasiliana wao kwa wao kwa njia mbali mbali kuanzia sauti,mingurumo,vitendo hadi harufu.
itakuwa Ivyo, ni maajabu ukiwafuatilia wanyama, wana maajabu mengi kwakwel
 
Hata paka wa majumbani mwetu wana sauti mbalimbali. Akiwa na watoto hutoa sauti kulingana na mawasiliano anyotaka Kutoa kwa watoto wake.

Kuna muda huwaita wamfuate na hutoa mlio tofauti kabisa na uliozoeleka.

Wanyama wote wapo hivyo.
 
Habarini,

Kuna kitu kimenishangaza kwa wanyama wa mwituni. Mfano, nilikuwa naangalia channel ya wanyama muda huu, kuna Chui jike ana watoto watatu anakanao kwenye pango. Akitaka kutoka kuhamia kwingine vinamfuata nyuma.

Kilichoniacha hoi ni pale mama yao anapoinuka kutaka kwenda kuwinda hawamfuati bali hubakia na wakati mwingine huingia ndani ya pango kabisa kujificha. anapoondoka safari nyingine tofauti na kuwinda huwa watoto wanamfuata nyuma. Kwa upande wa Simba jike na wanaye pia huwa hivyohivyo.

Ninachojiuliza. Je, wanyama kuna lugha wanaongea na watoto wao na wakawaelewa au inakuaje?

Napenda kuangalia sana wanyama na maisha yao
Ngoja wataalamu wa wanyama waje watusaidie,maana kuna jamaa yangu huko mbuga moja huko yaani kazoeana hadi na Simba na hakimbii wakitokea
 
Hujawahi muona kuku anapo muona mwewe anavyo wambia watoto jamani kimbieni mwewe kaja vifaranga vinakimbia vinaingia adi kwenye masufuria vingine kwenye mashimo mwewe akipita unasikia mama yao akisema muuwaji kapita njooni mkiangalia juu Mara vinaibuka jicho moja juu maisha yanaendelea!
 
Habarini,

Kuna kitu kimenishangaza kwa wanyama wa mwituni. Mfano, nilikuwa naangalia channel ya wanyama muda huu, kuna Chui jike ana watoto watatu anakanao kwenye pango. Akitaka kutoka kuhamia kwingine vinamfuata nyuma.

Kilichoniacha hoi ni pale mama yao anapoinuka kutaka kwenda kuwinda hawamfuati bali hubakia na wakati mwingine huingia ndani ya pango kabisa kujificha. anapoondoka safari nyingine tofauti na kuwinda huwa watoto wanamfuata nyuma. Kwa upande wa Simba jike na wanaye pia huwa hivyohivyo.

Ninachojiuliza. Je, wanyama kuna lugha wanaongea na watoto wao na wakawaelewa au inakuaje?

Napenda kuangalia sana wanyama na maisha yao
Hujaona jogoo akitaka kula mzigo mbona wanaelewana au njiwa mbona anakula mzigo bila hata sent anajua namna ya kumwelewesha
 
Hata paka wa majumbani mwetu wana sauti mbalimbali. Akiwa na watoto hutoa sauti kulingana na mawasiliano anyotaka Kutoa kwa watoto wake.

Kuna muda huwaita wamfuate na hutoa mlio tofauti kabisa na uliozoeleka.

Wanyama wote wapo hivyo.
kweli maajabu, bas nahis hata kuna muda watakuwa wanatuteta binadamu
 
Back
Top Bottom