Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki Kilele cha Kongamano la Nne la Uhuru wa Kidini la Afrika lililofanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha tarehe 21 Septemba 2024.
.
Naona matabasamu kwa viongozi tu
Naona matabasamu kwa viongozi tu