Hilo mpaka kwenye Bunge la JMT
Asilimia kubwa ya wabunge ni vilaza kabisaaa
Yaan mule kupata Mbunge asimame uone anatoa mchango wa kutukuka, mchango chanya wenye Kusaidia Taifa, na SHERIA BORAA
Ni WA kutafuta, ndo unawakuta Akina Luhaga Mpina, Gwajima, na wachache sana .
Nadhan Mfumo Wetu wa Elimu una shida sanaaa na wanaosoma pia Wana shida sana.
Sishangai Vijana kabla ya Intavyuu utasikia "Jamaan naomba msaada wa Maswali yanayoulizwa kwenye Uswahili wa Taasisi XYZ".
Unajiuliza, hivi huyu kijana kama amesoma, na alichosoma kipo kichwan, inakuaje anataka kuingia Kwa Intavyuu kichwan akiwa na Maswali na majibu yake ???
Yaan kwann mtu asiache Kichwa na akili yake kumfikiria na kuja na suluhisho .
Sasa Vichwa vya aina hii, unategemea vitakuja na mawazo gani ya kukomboa Jamii???
Hamna!
UKWELI NI KWAMBA, WAZUNGU WAMETUZIDI AKILI MBALI MNOOO, HATA MATUMIZI YA HIYO AKILI, WAMETUZIDI MBALIIIII MNOO