Pre GE2025 Ninachokiona kwenye jimbo la Tarime vijijini, Mwita Waitara anza kufunga virago

Pre GE2025 Ninachokiona kwenye jimbo la Tarime vijijini, Mwita Waitara anza kufunga virago

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Ninachowakubalia Wakurya ni wananchi wasema ukweli ni wawazi. Hakuna kabila lenye upendo kama Wakurya na wachache tunawaelewa vibaya. Ni wananchi waungwana sana. Ninachokiona kwenye Jimbo la Tarime Vijijini ni vema Mhe. Waitara anze kufunga virago.

Wamemueleza waziwazi mbele yake kuwa uwakilishi wake kwenye Jimbo hilo hajawatendea haki na wakashauri kuwa kama CCM ikitaka kushinda Jimbo hilo walete mtu mwingine na siyo Mhe. Waitara.

Hii salamu tosha kwa Mhe. Waitara na kama ikipendeza anze kuwaaga Wahe. Wenzake.

Pia soma
- Mbunge Mwita Waitara, acha kutumia ulaghai kwaajili ya kujitengenezea njia kueleka uchaguzi Mkuu
 
Kama zinamtosha basi hicho kiinua mgongo chake akitunze vizuri asijidanganye kuingia tena kwenye kinyang'anyiro watamlia hela zake lakini ubunge hatapata.
 
Back
Top Bottom