V VAMPA Member Joined Dec 19, 2011 Posts 61 Reaction score 4 Jan 2, 2012 #1 niko ubungo, naomba wakuu mnielekeze ni wapi ninaweza kupata kifaa hicho kwa bei nzuri na kiwe imara na halisi. 0754242210:
niko ubungo, naomba wakuu mnielekeze ni wapi ninaweza kupata kifaa hicho kwa bei nzuri na kiwe imara na halisi. 0754242210:
Kireka1980 JF-Expert Member Joined Mar 18, 2008 Posts 302 Reaction score 44 Jan 2, 2012 #2 Cheap is expensive, sijawahi kusikia dstv ya bei nzuri, nenda ofisini kwao pale mbuyuni au ni-pm nikupe namba ya simu ya agent wao
Cheap is expensive, sijawahi kusikia dstv ya bei nzuri, nenda ofisini kwao pale mbuyuni au ni-pm nikupe namba ya simu ya agent wao
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 18,813 Reaction score 21,830 Jan 2, 2012 #3 Huwezi ukawa serious kuwa hujui agents wa dstv na wala ofisi zao huzijui....duu hayaa na unakaa hapo tu ubungo kuna access zoote na mawakala wamejaa kibao!!!
Huwezi ukawa serious kuwa hujui agents wa dstv na wala ofisi zao huzijui....duu hayaa na unakaa hapo tu ubungo kuna access zoote na mawakala wamejaa kibao!!!
Adrian Stepp JF-Expert Member Joined Jul 1, 2011 Posts 2,764 Reaction score 2,591 Jan 2, 2012 #4 una matatizo tena makubwa