KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 277
Wadau wa magari heshima iwe kwenu naulizia hizi taa pichani zinapatika maduka gani hapa bongo na kwa bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha?
Sijakuelewa unamaanisha nini?Au wewe ni mmoja ya "wasiojulikana" umekuja kivingine?
Mimi nahitaji taa hizi za LED za kufunga kwenye kigari changu aina ya suzuki samurai zina vibalbu vingi unaondoa hizi taa za kawaida zilizozoeleka na kufunga hizo
Ok asante kwa mchango wakoZinaitwa kiburudisho lights
Mkuu basi weka link ya web