Ninahitaji kuku halisi wa nyama ili kumix na wa kienyeji

Ninahitaji kuku halisi wa nyama ili kumix na wa kienyeji

utinotino

Senior Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
119
Reaction score
45
Habari wadau. Nina kuku wa kienyeji 30 sasa naomba kujua ni kuku wa aina gani ambao ni mahususi kwa nyama yenye quality ambayo ni mbegu kubwa, tamu,laini na isiyo na kamba ili niweze kumix na hawa kuku wangu wa kienyeji kupata product nzuri nayoweza uza hata kwenye hoteli za kitalii.
Maana kuku wetu original wa kienyeji ni wadogo na wagumu sana,so mahoteli makubwa hawafagilii japo wanajua ni healthier.

Ushauri wa wadau nitashukuru na niko tayari kufwata kokote bongo.
Kama huna ushauri basi nisaidie ku tag wadau kama kina Kubota chasha poultry na wengine wengi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu utinotino labda nikupe ushaur ingawa hapo kwenye kamba sijakupata....sasa fanya hv tafuta majogoo chotara aina rhode island red,,new hampshire na black australop ucross na hao kuku wako utapata traits ulizotaja hapo juu...kwa ratio ya 1:10..kuhusu aina the choice is yours..unaweza changanya mbegu au la...
 
Back
Top Bottom