ninahitaji mchumba!!

Kama kweli mnashida na wachumba mcheki hapa MCHUMBA18.BLOGSPOT.COM
 
Kama kweli mnashida na wachumba mcheki hapa MCHUMBA18.BLOGSPOT.COM

hongera kama ni ya kwako,sema ungeongezea kipengele cha wasifu wa huyo mtu anayetafuta mchumba,mfano wasifu wangu ni mnene,mkristu nk
 

Mtafuto mwema mkuu, utafanikiwa tu ila angalia ucjeuziwa mbuzi kweenye gunia!


Mama karibu umetafutwa kwelikweli, vipi operation umepita salama?
 
Nashukuruni nyote mlionipa msaada wa mawazo, na maoni na mitazamo juu ya Imani na utamaduni wa kidini katika kuchagua mweza.

Nimejifunza kitu kizuri.
 

kwa hapa jamvini unajisumbua mkuu. These potential female partners around here are overly repulsive. Try other sources, brother
 
ok! kiwa mnene sawa mwembamba sawa kwani mkebora sio umbo rangi aliyonayo wala dini ila pendekezolangu kubwa ni mkristo na kabila ni lolote,ahsante
 
hey um ben lukin 4 a galfrend or mchumba,umri wake usizidi miaka 21,mimi ni mwanafunzi wa university n my age ni 21..no 0762328290
 
msimamo wako ni amin na hakika, uzingatie.
 
Mtafuto mwema mkuu, utafanikiwa tu ila angalia ucjeuziwa mbuzi kweenye gunia!



Mama karibu umetafutwa kwelikweli, vipi operation umepita salama?

umenifananisha sijui.
 
Mimi ninakila sifa ulizotaja hapo ila unanyumba yako mwenyewe? maana sipendi kukaa nyumba za kupanga usafiri je?


Hamna mchumba hapo, ni tamaa tu, hata kama ana gari au nyumba, unajua alivipata vp? Ondoa tamaa mdada,unaweza ukakosa mwenza mzuri wa maisha kwa nyodo zako za kutaka vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…