Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Habarini Wadau,
Ninahitaji Mtu wa kulima nae kwa Share katika Eneo la Arusha mjini lenye ukubwa wa Ekari 1 na nusu. Eneo ni zuri sana lenye rutuba na jirani kuna Mto unaopitisha maji.
Pia pumb na roller yake zipo kabisa. Mchango wa huyo Mtu utakuwa ni
- Kulipia mbegu ya zao tutakalotaka kulima.
- Kumtafuta Mtu wa kunyeshea na kusimamia shamba kwa ujumla pamoja na kupiga dawa inapobidi.
Binafsi nipo mbali kidogo ndio maana natafuta partner, Eneo hili linakubali mazao yote yafaayo kulimwa kwa biashara yaani nyanya, vitunguu, karoti, kabichi n.k
Mawasiliano: 0655-946381
Ninahitaji Mtu wa kulima nae kwa Share katika Eneo la Arusha mjini lenye ukubwa wa Ekari 1 na nusu. Eneo ni zuri sana lenye rutuba na jirani kuna Mto unaopitisha maji.
Pia pumb na roller yake zipo kabisa. Mchango wa huyo Mtu utakuwa ni
- Kulipia mbegu ya zao tutakalotaka kulima.
- Kumtafuta Mtu wa kunyeshea na kusimamia shamba kwa ujumla pamoja na kupiga dawa inapobidi.
Binafsi nipo mbali kidogo ndio maana natafuta partner, Eneo hili linakubali mazao yote yafaayo kulimwa kwa biashara yaani nyanya, vitunguu, karoti, kabichi n.k
Mawasiliano: 0655-946381