Fontana_silver
Member
- Dec 26, 2015
- 54
- 47
Yeah sure kama shark tank.Valuation ya biashara haipimwi kwa thamani ya mtaji wa biashara pekee
Kuna trust ya brand kwa wateja ambayo tumeijenga for years now, biashara bado ina long run siwezi uza 50% kwa 10m mkuu
NB: Y combinator wanatoa $500k kwa startups in exchange of 10% equity share tena zingine zikiwa in ideation stage
Kwenye mauzo tunatumia system ambayo ina manage kila kitu kuanzia stock hadi revenue (utaweza ku log in na kuangalia mwenendo wa biashara)Nilitaka kuuliza hili suali lakini nimetaka kujua kwanza mtoa 10m nae anashiriki kwenye mauzo au yupo tu kwa gawio?.
Biashara imeanza from scratch kabisa nimeweka uhai wa miaka miwili kwani ndipo rasmi nilipokamilisha usajili na kutambulika kisheria kuwa nafanya biashara hiiUmewezaje kutengeneza financial reports za mwaka 2022-2023 ikiwa ndo kwanza upo katika mwezi wa kwanza kwa robo ya mwisho wa mwaka 2023?
Kama uhai wa biashara ni miaka miwili, kwa nini usimpatie nakala ya financial reports "prospect investor" za mwaka 2020/2021 na 2021/2022?
Nikutakie mafanikio mema.Biashara imeanza from scratch kabisa nimeweka uhai wa miaka miwili kwani ndipo rasmi nilipokamilisha usajili na kitambulika kisheria kuwa nafanya biashara hii
Financial reports zilizokamili ni za kuanzia mwaka 2022 to date
AmenNikutakie mafanikio mema.
Asante kwa ufafanuzi wako. Ningekuja kuinvest lakini 10% ndogo sana. Kwa 30% baada ya kujiridhisha annual report ilivyo basi tungeliongea.Kwenye mauzo tunatumia system ambayo ina manage kila kitu kuanzia stock hadi revenue (utaweza ku log in na kuangalia mwenendo wa biashara)
Kwa sasa hatuhitaji fulltime accountant biashara bado ipo kwenye growth stage hivyo tunaangalia namna ya kupunguza baadhi ya gharama huku tukiendelea kukua
Asante sana mkuuAsante kwa ufafanuzi wako. Ningekuja kuinvest lakini 10% ndogo sana. Kwa 30% baada ya kujiridhisha annual report ilivyo basi tungeliongea.
I see a future Billionaire.Heshima kwenu wakuu,
Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs, serums nk
Biashara imesajiliwa na mamlaka zote na inajiendesha kihalali
Thamani ya biashara kwa sasa ni 20m
Ambayo inajumuisha machines na working capital
Uhai wa biashara ni miaka miwili na kuna feedback nzuri sana za wateja
Wateja
Tunatumia social media (duka mtandao)
Beauty botiques
Machinga (kkoo hawa tunawasambazia sabuni)
mawakala wa mikoani na nchi jirani (Congo,Malawi na Zambia)
Nahitaji mwekezaji awekeze 10m ambayo itaingia kwenye working capital na mwekezaji atapata 10% equity share huku mtaji wake ukiwa upo pale pale na endapo akaamua kusitisha mkataba atarudishiwa pesa yake kulingana na muda tutakao kubaliana
NB: 10% ni ownership, profit split ni annualy ambapo mwenye ownership ya 10% atapata 10% of the profit generated annualy,
Mwekezaji atakuwa mjumbe wa bodi pia kushiriki vikao vya bodi ya washauri tunavyofanya Kila baada ya miezi mitatu pia atapata access ya taarifa zote za biashara (sales,purchase,transactions and contracts) muda wowote atakaohitaji
Biashara ina team ya watu 6 na mawakala zaidi ya 20
Kwa ambae atakuwa interested
Karibu whatsapp 0769922210 nikutumie company profile,pitch deck,pitch video na financial reports za mwaka 2022-2023
Pia napokea appointment za meeting za ana kwa ana ofisini kwetu au zoom meeting kwa waliombali
Niwatakie mapumziko mema ya juma
AmenI see a future Billionaire.
Good work.
Congrats.
Dah, vipi umepita mchujo wa awamu hii na ushafanyiwa verification?Mapambano yaendelee mwana TEF
Sikutoboa tangu stage one. Tutajaribu mwakani tena mara ya pili hii.Dah, vipi umepita mchujo wa awamu hii na ushafanyiwa verification?
Nina rafiki yangu aliomba miaka minne mfululizo mwaka wa tano akapataSikutoboa tangu stage one. Tutajaribu mwakani tena mara ya pili hii.
Hongera kwa Kazi nzuri. Kama unahitaji Vifungashio vya kisasa kwa ajili ya Lotions, Jars za mafuta ya mgando na Chupa za Shampoo tunaweza kufanya Biashara. Naweza kukutumia samples pia iwapo utahitaji.Heshima kwenu wakuu,
Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs, serums nk
Biashara imesajiliwa na mamlaka zote na inajiendesha kihalali
Thamani ya biashara kwa sasa ni 20m
Ambayo inajumuisha machines na working capital
Uhai wa biashara ni miaka miwili na kuna feedback nzuri sana za wateja
Wateja
Tunatumia social media (duka mtandao)
Beauty botiques
Machinga (kkoo hawa tunawasambazia sabuni)
mawakala wa mikoani na nchi jirani (Congo,Malawi na Zambia)
Nahitaji mwekezaji awekeze 10m ambayo itaingia kwenye working capital na mwekezaji atapata 10% equity share huku mtaji wake ukiwa upo pale pale na endapo akaamua kusitisha mkataba atarudishiwa pesa yake kulingana na muda tutakao kubaliana
NB: 10% ni ownership, profit split ni annualy ambapo mwenye ownership ya 10% atapata 10% of the profit generated annualy,
Mwekezaji atakuwa mjumbe wa bodi pia kushiriki vikao vya bodi ya washauri tunavyofanya Kila baada ya miezi mitatu pia atapata access ya taarifa zote za biashara (sales,purchase,transactions and contracts) muda wowote atakaohitaji
Biashara ina team ya watu 6 na mawakala zaidi ya 20
Kwa ambae atakuwa interested
Karibu whatsapp 0769922210 nikutumie company profile,pitch deck,pitch video na financial reports za mwaka 2022-2023
Pia napokea appointment za meeting za ana kwa ana ofisini kwetu au zoom meeting kwa waliombali
Niwatakie mapumziko mema ya juma
Preference shareholder (though dividend policy inakataa, kwa sababu Yeye anakuea entitled to a fixed portion of dividend)Hapana yeye anawekeza tu nakusubiri mgao wake mwisho wa mwaka lakin atakuwa anahudhuria vikao na kupata reports za kila mwezi namna biashara inavyokwenda
Swala la accountant kwa sasa tuna outsource anakuja kwa wiki mara moja lakin ukileta wako its fine na ukiwa wewe mwenyewe na taaluma hiyo pia itakuwa vzr zaidi maana kuna kiasi fulani utapata kwa ajili ya kazi hiyo
Niliuliza hivyo kwa sababu ulisema biashara yako yote ina thamani ya 20m. Kwa hesabu hiyo, 10m ni 50% stake.Valuation ya biashara haipimwi kwa thamani ya mtaji wa biashara pekee
Kuna trust ya brand kwa wateja ambayo tumeijenga for years now, biashara bado ina long run siwezi uza 50% kwa 10m mkuu
NB: Y combinator wanatoa $500k kwa startups in exchange of 10% equity share tena zingine zikiwa in ideation stage
20m ni mtaji ambao unaonekana(unashikika) ni machines na working capitalNiliuliza hivyo kwa sababu ulisema biashara yako yote ina thamani ya 20m. Kwa hesabu hiyo, 10m ni 50% stake.
Naomba ongeza nyama kidogo mkuu, hapo nimeelezea uhalisia wangu na biashara yangu Kuna some policies sizifahamu kwa mana ndo mara ya kwanza kuhitaji investorPreference shareholder (though dividend policy inakataa, kwa sababu Yeye anakuea entitled to a fixed portion of dividend)
Asante sanaHongera kwa Kazi nzuri. Kama unahitaji Vifungashio vya kisasa kwa ajili ya Lotions, Jars za mafuta ya mgando na Chupa za Shampoo tunaweza kufanya Biashara. Naweza kukutumia samples pia iwapo utahitaji.
Asante.