Bexb
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 715
- 1,619
Habari ya wakati huu wakuu, ninahitaji zile office cabinet ambazo wengine huzitumia kwa kuhifadhia nyaraka muhimu kwa isalama.
Naomba nielekezwe duka lilipo au mawasiliano ya ofisi husika.
Pia ninahitaji projector ya kisasa brand ya Epson ambayo ina uwezo wa kupokea mawimbi toka katika computer pasipo waya yaani wireless.
Mawasiliano yangu ya WhatsApp ni 0755963775
Naomba nielekezwe duka lilipo au mawasiliano ya ofisi husika.
Pia ninahitaji projector ya kisasa brand ya Epson ambayo ina uwezo wa kupokea mawimbi toka katika computer pasipo waya yaani wireless.
Mawasiliano yangu ya WhatsApp ni 0755963775