Ninahitaji wa kushirikiana.

Ninahitaji wa kushirikiana.

Siku za ajabu

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
1,369
Reaction score
986
Jamani wana jamii mimi nina ujuzi wa kutengeneza sabuni ainazote na shampoo,mishumaa na vingine kwa sasa nataka kujikita na sabuni na shampoo,sasa nipo busy na kazi nyingine nahitaji mtu aliye tayari tufanye kazi tutafte soko halafu tunagawana kinachopatikana kwa makubaliana karibuni nipo daslam waweza pm au vyovyote nikupe mawasiliano 0717215506.
 
Nahisi anatafuta mtu wa kumsaidia ili yeye aendelee na kazi zake au sivyo mkuu?
 
Back
Top Bottom