Ingekuwa amri yangu hii sheria ya VAR ningeifutilia mbali kwani inalalamikiwa sana na haitendi haki kabisa. Wapi uliona mpira unaamuliwa kwa video refarii? Inapunguza msisimUko wa soka. FIFA wafanye haraka ifutwe kwani ikianza kutumika duniani kote ni janga.