Tunakokwenda hiyo VAR itakuwa na VAR yake...halafu matokeo yataamuliwa studio.Ingekuwa amri yangu hii sheria ya VAR ningeifutilia mbali kwani inalalamikiwa sana na haitendi haki kabisa. Wapi uliona mpira unaamuliwa kwa video refarii? Inapunguza msisimUko wa soka. FIFA wafanye haraka ifutwe kwani ikianza kutumika duniani kote ni janga.
Wataka kusema ndio inayohamua magoli ya mechi [emoji38][emoji38]VAR haina tofauti sana na VIAGRA
Kuna mechi spurs v watford
VAR Decision=No goal
On ground Refferee=Goal
Sasa hapo tumwamini nani? Lile goal la Arsenal jana VAR imekataa lakini mimi mtazamo wangu ni goal au ilibidi Arsenal wapewe penalt.
Ingekuwa amri yangu hii sheria ya VAR ningeifutilia mbali kwani inalalamikiwa sana na haitendi haki kabisa. Wapi uliona mpira unaamuliwa kwa video refarii? Inapunguza msisimUko wa soka. FIFA wafanye haraka ifutwe kwani ikianza kutumika duniani kote ni janga.
Ingekuwa amri yangu hii sheria ya VAR ningeifutilia mbali kwani inalalamikiwa sana na haitendi haki kabisa. Wapi uliona mpira unaamuliwa kwa video refarii? Inapunguza msisimUko wa soka. FIFA wafanye haraka ifutwe kwani ikianza kutumika duniani kote ni janga.
Kwani wewe ulikua uwajani live au nawewe ulikua kwenye video kama VAR........utaikubali je kama huo sio ushabikiKuna mechi spurs v watford
VAR Decision=No goal
On ground Refferee=Goal
Sasa hapo tumwamini nani? Lile goal la Arsenal jana VAR imekataa lakini mimi mtazamo wangu ni goal au ilibidi Arsenal wapewe penalt.
Sikuwa uwanjani sawa sawa na mtu anayecontrol VAR. Nilichokiona mimi ndicho hicho alikiona yeye, tofauti tu ni kuwa alinichagulia cha kunionesha na pia yeye aliona kwa angle nyingi zaidi.Kwani wewe ulikua uwajani live au nawewe ulikua kwenye video kama VAR........utaikubali je kama huo sio ushabiki
Na ikifika Tanzania tunamuweka Mzee wetu Jecha kwenye controls paleIngekuwa amri yangu hii sheria ya VAR ningeifutilia mbali kwani inalalamikiwa sana na haitendi haki kabisa. Wapi uliona mpira unaamuliwa kwa video refarii? Inapunguza msisimUko wa soka. FIFA wafanye haraka ifutwe kwani ikianza kutumika duniani kote ni janga.
Ingekuwa amri yangu hii sheria ya VAR ningeifutilia mbali kwani inalalamikiwa sana na haitendi haki kabisa. Wapi uliona mpira unaamuliwa kwa video refarii? Inapunguza msisimUko wa soka. FIFA wafanye haraka ifutwe kwani ikianza kutumika duniani kote ni janga.