Ninaishauri timu ya yanga kumtafuta kipa mwenye kiwango

Ninaishauri timu ya yanga kumtafuta kipa mwenye kiwango

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Leo nilishuhudia mechi kati ya timu ya Yanga na Lipuli. Bao lililofungwa Yanga hawakustahili kufungwa kama kweli wangekuwa na kipa mwenye uwezo. Mpira umepigwa umbali wa mita 25 na kwenda moja kwa moja goilini. Kwa kweli Yanga hawana kipa mwenye uwezo ni vyema sasa wakamtafuta kipa mwenye uwezo badala ya Kakolanya.
Mwisho niwape HONGERA sana timu ya Simba kwa kuweza kufuzu robo fainali ya CAF. Msemo wa Manara Do or die kweli umefanya kazi katika uwanja wa nyumbani.
 
Japo mm ni simba ila sikubaliani na wew kwamba tatizo ni kindoki kwenye lile goli. Kama utakumbuka curtois kafungwa goli lillelile na ajax juzi kati hapo. Kautazame vizuri mpira ulivyokuwa unaelekea golini, utagundua kuwa unatakiwa kumsifia mpigaji na sio kumlaumu kindoki.
Pia wakati mpira unapigwa akili ya kindoki ilikuwa keamba mpira utapigwa cross ili watu wamalizie na ndio maana alikaa upande ambao mpira unatokea, na mpigaji allilijua hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magoli yale akifunga ajibu mnamsifia na kumwita Fundi, wakifunga wengine mnawalaumu makipa. Do to Die my friend kwa mchina.
 
Japo mm ni simba ila sikubaliani na wew kwamba tatizo ni kindoki kwenye lile goli. Kama utakumbuka curtois kafungwa goli lillelile na ajax juzi kati hapo. Kautazame vizuri mpira ulivyokuwa unaelekea golini, utagundua kuwa unatakiwa kumsifia mpigaji na sio kumlaumu kindoki.
Pia wakati mpira unapigwa akili ya kindoki ilikuwa keamba mpira utapigwa cross ili watu wamalizie na ndio maana alikaa upande ambao mpira unatokea, na mpigaji allilijua hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia nkana walifungwa goli kama hilo na mkude

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo mm ni simba ila sikubaliani na wew kwamba tatizo ni kindoki kwenye lile goli. Kama utakumbuka curtois kafungwa goli lillelile na ajax juzi kati hapo. Kautazame vizuri mpira ulivyokuwa unaelekea golini, utagundua kuwa unatakiwa kumsifia mpigaji na sio kumlaumu kindoki.
Pia wakati mpira unapigwa akili ya kindoki ilikuwa keamba mpira utapigwa cross ili watu wamalizie na ndio maana alikaa upande ambao mpira unatokea, na mpigaji allilijua hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemalizia vibay.Ile freekick mpira kadiri ulivokua una-approach ulikua unazunguka kwa speed labda,air resistance ama jinsi ulivopigwa sijui.Ila kindoki aliuona akasogea lakini waaaap.Urefu wa kipa na ushaapu ungesaidia.Mwisho hongera Haruna Shamte kwan sio Freekick ya kwanza ya namna ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom