Ninakukaribisha JF Dr.Joyce Ndalichako.

Akija ndalichako naamini baadhi ya user watapigwa ban. wengine tunausongo wa kufelishwa watoto wetu kwa imani zao za kidini
 
siamini kama atakuja. Akija swali la mwanzo. Necta umekifanya kigoda cha kanisa kwa kuwafelisha waislam na kuwapendelea wakiristo. Swali kwanini umeamua kutumia njia kwa watz wenzio?

Ndugu yangu, tuwe wazi wenzetu wanawekeza katika elimu. Sisi tumekalia kuoa wake lukuki we unafikiri kufeli kwa waislam wenzetu Dr mwenzangu anahusika, hapana. Baadhi ya wanafunzi na wazazi hawatilii mkazo elimu. Acha baraza lifanye kazi yake.
 
Ndugu yangu, tuwe wazi wenzetu wanawekeza katika elimu. Sisi tumekalia kuoa wake lukuki we unafikiri kufeli kwa waislam wenzetu Dr mwenzangu anahusika, hapana. Baadhi ya wanafunzi na wazazi hawatilii mkazo elimu. Acha baraza lifanye kazi yake.

well said dokta
 
Kufeli kwa mtu ni ujinga wake mwenyewe na kuto jiandaa vizuri,so usitake kumtwisha mama wa watu lawama zisizo za ukweli,hao ndugu zako waislamu unao sema wanafelishwa ni wao wenyewe tu kichwani zimegoma,maana kuna waislamu wengine tena wengi tu wanao jua umuhimu wa elimu wanafaulu sana darasani,sasa wewe mtoto anashinda madrasa ana crem kiarabu then unategemea atafaulu mitihani ya darasani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…