Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
fafanuaLakini ni mbunge zero kichwani Kama msukuma na tulia
fafanua
Wananiiita Sugu naniiiiii,wananiiiita Sugu...Ana mapepe na jaziba na kujifanya mjuaji Kama jiwe aka magufuli
kabisa !Happy birthday to him..mbunge aliepata kura nyingi kuliko mbunge yoyote bungeni..
Siku za duniani ni za Mungu , si za Sugu wala RugeAnashare tarehe na marehemu ruge ,,chaajabu walikuwa hawapatani
We una nini hpoAna mapepe na jaziba na kujifanya mjuaji Kama jiwe aka magufuli
Tuachieni ZERO wetuLakini ni mbunge zero kichwani Kama msukuma na tulia
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] ukimjibu zezeta nawe unakuwa zezeta[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Achana naye huyo Mkuu! Kamongo na sugu wapi na wapi!
haituhusu [emoji1787][emoji1787]Anashare tarehe na marehemu ruge ,,chaajabu walikuwa hawapatani
Akirudi nistue !We una nini hpo
Wkt bado unakaa kwa shemeji yko
Hku usiku unaskilizia miguno tu ya kwao
Ova
Unijui sikujui endelea na dharau yako...We una nini hpo
Wkt bado unakaa kwa shemeji yko
Hku usiku unaskilizia miguno tu ya kwao
Ova
Nimerudi, tatizo la wa Tanzania wengi ikiwa pamoja na viongozi wake hawataki kupokea ukweli, nimesema na nitaendelea kusema sugu ni zero Kama msukuma na tulia wote wanajaziba na kujifanya wajuaji Kama magufuli.....Akirudi nistue !
Acha ushabiki maandazi, nilikuwa nakuheshimu kumbe na ww ni fala Kama mafala wengine tu.Achana naye huyo Mkuu! Kamongo na sugu wapi na wapi!
Sugu alikupigia nini maana syo kwa povu hiliNimerudi, tatizo la wa Tanzania wengi ikiwa pamoja na viongozi wake hawataki kupokea ukweli, nimesema na nitaendelea kusema sugu ni zero Kama msukuma na tulia wote wanajaziba na kujifanya wajuaji Kama magufuli.....