Ninamashaka nae.....

mkapime mkuu ili wote mjiridhishe mko swafi then mko huru kujiachia bila kinga
 
kuna mabinti ambao akimpenda mwanaume kwake anaona condom ni kama kujidhalilisha anahisi unamwona malaya kutembea nae na condom, mabinti kama hao ni wale ambao sio wazoefu wa mapenzi na amejitunz amda mrefu, mchunguze vizuri usianze kumhukumu bila kumfahamu, kisha mkapime kama mara 2 hivi kujiridhisha, utashangaa akaja kuwa mkeo na ngoma ikawa tight u neva know.
 

Miguu kichogoni fasta. Usiuze sura hapo.
 
Kweli kama hataki kupima achana nae. Yani hata kama ni hana experience na mapenzi; matangazo yooote ya ukimwi yeye ajaelimika tu? Watu ndio kwanza mmekutana anatumia kigezo gani kujua kuwa wewe ni mzima? Mapenzi yake kwako? Na kama ni tabia yake kujihachia jumla from day one huyo dada ataja ukwaa huo ugonjwa hata kama hana kwa sasa. Angalia kaka bado taifa linakutegemea.
 
Kwahiyo kote huko alipopita ilikuwa nyama kwa nyama haya dogo akili kumkichwa na kama anavyosema Mkulu 'changanya na za kwako'.
 
Mmh nakuonea huruma mshkaji, lakin siangalii kibanzi chako, nafikiria hili boriti kwangu mimi..
 
muende kupima maana maisha na starehe ya nusu saa ni mbaya sana
 
<br /> <br / nilimtania nikasema unataka kuniangamiza nini?akanuna gafra akasema simuamin
<br />
<br />
Ck hz hakuna kuaminiana kjngakijnga wewe! Huyo angalia vzuri.
 
<br /> <br / nimesema anakataa kufanya mapenz na condoms.sijasema anakataa kupima.ngoja nimudokezee about kupima hiyo kesho
 
<br /> <br / asante kwa ushauri mzuri maana ninampenda vilivyo nitashukuru kama kweli atakuja kuwa ma wife
 
<br /> <br / lakini nampenda kaka.nanimesumbuka sana kumpata bro[/QUOTE
nenda kamwambie kuhusu kupima ili mle kwa raha zooote! kuna mschana nilishawahi kutana naye yeye alisema kondom hatumii sababu zinamletea fungus!
 
asanten kwa ushaur wenu mzur wana jf.walioweng wamenishaul nikapime na huyu mpenz wangu.na mim nimeona niushaur mzur so kwakuwa kesho ndo tulipanga 2kafanye mapenz nitaenda na condoms zangu kama kawaida akigoma kufanya bila ndom bas mim sintofanya kamwe.nitakacho mshaur twende ANGAZA.Kila atakacho nijibu basi wana jf nitawajulisha kwa thread nyingine itasema,ALICHONIJIBU.nawapenda sana wana jf kwa ushirikiano wenu ili muniokowe mwana jf mwezenu -@-@-@-@-@-@-@-
 
<br />
<br />isije kuwa unatunga wewe yani hata taito ya uzi ujao unayo tayari! Haya twambie kama atakubali taito ya uzi itakuwaje?. Ova!
 
MMENIKERA WAZEE WENZANGU JAMANI VITABU VYA DINI VINAKATAZA HAYA NAONA WOTE MNAMSHAURI AKAPIME ALAFU AKATENDE DHAMBI. Hamuwezi kumwambia aache kwanza UZINZI NI DHAMBI.??
 
mwambie akazanie dawa maana kwuiiiiiiiiiiiiiiiisha hakuna uhai hapo tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…