Ninampango wa kutoka Mwanza kwenda Dar na Toyo XL Tupeane uzoefu kwa waliowahi kutoboa route ndefu za mikoa na TOYO

Ninampango wa kutoka Mwanza kwenda Dar na Toyo XL Tupeane uzoefu kwa waliowahi kutoboa route ndefu za mikoa na TOYO

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Habari wakuu, hapa ninampango wa kutoka Mwanza kwenda DSM na pikipiki aina ya XL kwa ambao walishawai kutoboa route ndefu na toyo tupeane uzoefu na changamoto zake na zipi na ni mambo gani inatakiwa kuzingatia njiani!

Sababu huwa sipendelei usafiri wa public nilishazoea kutumia Gari binafsi ila kwa bahati mbaya Gari langu limepata hitilafu ambayo naona uwezekano wa kuifix na huu usawa wa tozo itanichukua mda kidogo, hebu nipeni uzoefu kwa mliowahi kutoboa na toyo masafa marefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, hapa ninampango wa kutoka Mwanza kwenda Dsm na pikipiki aina ya XL kwa ambao walishawai kutoboa route ndefu na toyo tupeane uzoefu na changamoto zake na zipi na ni mambo gani inatakiwa kuzingatia njiani! sababu huwa sipendelei usafiri wa public nilishazoea kutumia Gari binafsi ila kwa bahati mbaya Gari langu limepata hitilafu ambayo naona uwezekano wa kuifix na huu usawa wa tozo itanichukua mda kidogo, hebu nipeni uzoefu kwa mliowahi kutoboa na toyo masafa marefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si mlevi! Labda uache kugida njiani, kama una nguo spesho za waendesha pikipiki itakuwa poa kama hauna vaa makoti makubwaaaa, pia nakushauri utumie walau siku nne njiani
 
Unafika tena bila shida ila kna vitu vya kuzingatia je chombo unacho safilia kipo salama kina sevice
ya kutosha nilisha wai kutoka chalinze adi kigoma kwa boxer 150 ila ina bidi uwe full na0kama afya mbovu kaa mbali
 
Habari wakuu, hapa ninampango wa kutoka Mwanza kwenda Dsm na pikipiki aina ya XL kwa ambao walishawai kutoboa route ndefu na toyo tupeane uzoefu na changamoto zake na zipi na ni mambo gani inatakiwa kuzingatia njiani! sababu huwa sipendelei usafiri wa public nilishazoea kutumia Gari binafsi ila kwa bahati mbaya Gari langu limepata hitilafu ambayo naona uwezekano wa kuifix na huu usawa wa tozo itanichukua mda kidogo, hebu nipeni uzoefu kwa mliowahi kutoboa na toyo masafa marefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wehu, nahizo pombe zako.si utafia njiani?
 
Hiyo Barbara Umbali Wote Hujafikiria Chuma Za Hiyo Njia Ally's Stars, Zuberi, Frester, Unaweza Kufa Bure
Kwa mwendo wa xl ally's haoni ndani.anachotakiwa abebe hata kilo 100 za mchele ili apate balance.mm nilitoka mwanza kwenda nzega nilitumia masaa 2na nusu.gali iliyonipita ilikuwa moja tuu na ilikuwa na speed sijawahi ona maisha yangu yote.maana iliponipita ndani ya sekunde kama 6 barabala iliyonyooka ilikuwa haionekani
 
Back
Top Bottom