ninampenda anayenipenda tu..........

fazaa hilo ni swali zuri lakini ukweli wabakia palepale ya kuwa katika hao 10 haiwezekani wote wanipende sana..................lazima kuna mmoja atanipenda zaidi nami nitazama kwake..............
Safi sana hapo ni kweli kabisa 😛oa
 
Safi sana hapo ni kweli kabisa 😛oa

yeah ukitafakari sana mazungumzo na matendo yao utawajua 2 ni nini wanalenga..........baada ya hapo unafanya chaguo lako moja bila ya zengwe ukijua kuna vilio vitajitokeza...................life is not simple.......furaha ya mmoja ni kilio cha wengineo.......
 
Chezeiya mapenzi Rutashubanyuma moyo ukifunguka unazuia lakini wapi...Sasa sijui kosa ni la moyo au wewe mwenyewe...lol

tatizo ni wewe mwenyewe kuruhusu tamaa zako kukutawala na ukasingizia moyo................jenga nidhamu ya kila kitu mengineyo hayana shida..........
 
ahahahahaahaaaaaaaaaaaaaaaaa_adopt my love style...you will enjoy.....wewe tamani tu wala ucpende.
Yani we wacha tu hiyo ya kutamani ndo kawaida yangu natamania sana totoz haswa zile fig 8....lakini kuna madhara yake.

Kuna siku nilikuwa na wife kwenye shoppping mall, nikaona kasichana kazuri basi nikawa na katazama, kumbe wife kaniona, alinipiga boom sitasahau maisha yangu...Wife alisema; kama bado unatamni wengine, yanini ulinioa...yani pale nilihisi dhambi kweli kweli sitasahau.
 
Hapo ni green kabisa :A S shade:
 

Hapo kwenye violet; wewe unasubiri upendwe ili upende? Utaulazimishaje moyo wako kumpenda mtu just because kakupenda? Na suppose ukipendwa na watatu?

Kingine, utajuaje kama mwenzako anakupenda??? (kuna mtu aliuliza hilo swali kwenye chit chat), what if ulichotafsiri upendo ni just admirations; au kukutamani au kutaka/penda ulicho nacho??? Huoni hapo utaumia zaidi. Na maybe, ulijifunza kumpenda huyo mtu kwa kujua anakupenda kumbe kulikuwa na attraction nyingine tofauti. Mimi nafikiri it is worth kupenda for the sake of it, na ikitokea mwisho ukatendwa; ndio sehemu ya maisha!
 
hio ndio principle..zaidi ya hapo kila mtu achukue ustarabu wake
 

fazaa huna mipaka ya kutamani?
 

na kinyume chake pia ni sehemu ya maisha.............anayenipenda nikimtupioa jicho tu najua kuwa huyu......she is mine...........huwa sikosei.........labda utaiita ni sixth sense.................
 
fazaa lakini usifurahie kuwaachia maumivu wenzio...........
It's a cycle, my friend...Si unajua dunia inazunguka lazima watachukia tu, wao wameisha zowea kupenda, wewe ukipenda mmoja tu wao hawapendi vile...Si unajua kale kamsemo kao kanasema men always complain about women complaining, lazima watalalamika tu na kusema, kwanini unapenda sehemu moja tu...Si ajabu umerogwa :A S shade:
 


ni kweli fazaa...............mara nyingi ni vigumu kumridhisha mwanadamu.............kwa hiyo ni vyema ukajiridhisha mwenyewe............
 
Ni kweli ni heri kumpenda anayekupenda. Usimlaumu pia asiekupenda maana huenda wewe si chaguo lake. Kuna ambaye yeye anampenda. Unaweza ukamsii kwa kum'badilisha mawazo ila ujue hamtadumu kwakuwa hauko moyoni mwake. MPENDE AKUPENDAE, " ASIYEKUPENDA ACHANA NAYE "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…