Malipo tena mkuu😎😎Mimi nnaweza kukutafutia namba lakini sina hakika na malipo yako mkuu
Nilipo kuwa mtoto kipindi kile cha 2011 nilitokea kumpenda Saana uyu mtoto wa kike. Sasa nimekuwa, bado mapenzi yangu Yako pale pale i want to be with this Girl in my life.
Please Who can help me to get her phone number ni nani anaweza kunitafutia number zake au kuni unganisha naye? Please Nina zawadi ambayo nitampa kiasi cha Laki 3 shillings Kuni tafutia number za Jenifer Kanumba i want to try my luck maybe she can accepte me.
Jamaa anadai ana ofa ya 300k kwa atakaempa nambamalipo tena mkuu😎😎
Ni Kweli Na mpenda
Dogo em tafuta maisha kwanza
I don't care about chura