Ninampenda Jenifer Kanumba, nisaidieni jinsi ya kumpata

Komaa DM utakuja nishukuru hiyo laki 3 uwe nayo mara 20 yake mbona utakatafuna sana tu mpaka utachoka mwenyewe. ila kama huna hela usijaribu kabisa
 
Komaa DM utakuja nishukuru hiyo laki 3 uwe nayo mara 20 yake mbona utakatafuna sana tu mpaka utachoka mwenyewe. ila kama huna hela usijaribu kabisa

Pesa iheshimiwe tafadhali.
 
Fuata ushauri wa mdau wa kwanza kwenye reply. Mfuate DM kwanini uteseke kiasi icho.😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…