Kwani ukioa hisia zakupenda zinakufa??kwa taarifa mpenzi niyule uliyenaye ninani hajawahi kusalti?
Yeye anabwana wake wanaishi ila wenye maisha mazuri mimi nimeoa!!
unameheshimu?mngekuwa mnatumiana email za majambozi?
ungempenda kweli usingeogopa kumwambia..usingejiuliza mara mbili as long as na yeye ashaonyesha dalili chanya......
mtokee mwaya akikupiga kibut nenda kanisani kaungame dhambi then utakuwa mpya tena!!!!
ulishawai kuchukulika?nyie ndio mnaechukua bwana za wa2.
Jamani mimi nina Demu mmoja nilikutanishwa naye kwenye maswala ya bihashara ila wakati huo nilikuwa na interest na huyo aliye nipeleka Baada ya kukutana na huyo Demu nimzuri biashara ikafanyika na akaonekana ni dada anayejali mimi roho ikawa inawaza!siku zikasogea akaniambia matatizo yake ya yandani tukawa tunatumiana na email za majambozi!Lakini kwa jinsi yunavyoheshimiana naogopa kuharibu uhusiano wetu!nashida yake anashida yangu hadi mzazi wake alipotambulishwa akaona mimi ninajali akaona nirafiki wakweli!ila sasa dada nimzuri acha namtamani kumwambia naona soo!Je nini nifanye ukweli nampenda!nayule aliyenipeleka tunawasiliana lakini mimi moyo umehamia kwa huyu zaidi na vizuri yupo arusha hanitii wasi!Hila huyu!!!:A S 8:
Kwani ukioa hisia zakupenda zinakufa??kwa taarifa mpenzi niyule uliyenaye ninani hajawahi kusalti?
Jamani mimi nina Demu mmoja nilikutanishwa naye kwenye maswala ya bihashara ila wakati huo nilikuwa na interest na huyo aliye nipeleka Baada ya kukutana na huyo Demu nimzuri biashara ikafanyika na akaonekana ni dada anayejali mimi roho ikawa inawaza!siku zikasogea akaniambia matatizo yake ya yandani tukawa tunatumiana na email za majambozi!Lakini kwa jinsi yunavyoheshimiana naogopa kuharibu uhusiano wetu!nashida yake anashida yangu hadi mzazi wake alipotambulishwa akaona mimi ninajali akaona nirafiki wakweli!ila sasa dada nimzuri acha namtamani kumwambia naona soo!Je nini nifanye ukweli nampenda!nayule aliyenipeleka tunawasiliana lakini mimi moyo umehamia kwa huyu zaidi na vizuri yupo arusha hanitii wasi!Hila huyu!!!:A S 8:
kama umeosa acha kabisa, Mwone tu kama alivyo. We bwana si vizuri kabisa, jiepushe na tamaaYeye anabwana wake wanaishi ila wenye maisha mazuri mimi nimeoa!!
kama siwezi sema direct mimi nafanyaga hivi;
najenga mazoea....... kisha ananizoea....... naonyesha kumjali........ kuliko mtu yeyote...... katika dunia hii....... kama vipi unaanza....... kutoa out mara sms mara simu kwa wingi.
at last onyesha kila dalili ya kuwa unampenda na yote yaliyo sawa na hayo.
mwisho wa siku unazama nae gheto au gesti hata bila kusema I LOVE U,
ONYO: kumbuka atazuga kuvua chupi kwa muda lakini mwishowe utammega kiulaini.
Ahahahahaaaaaah huyo ni yeye kabisa!hivi hiyo avatar yako ilipita photoshop au kwelikuna mtu kama huyo?:focus: you've got SWAGA (something we africans got)
My worrys wat if??akisema sikukutegeme utaniambia maneno hayo??unatokea mlango gani??hakuna rangi utaachaona!:A S 2152: