ndo tutamwelewa ditto moyo sukuma damu mengine remain constantSure mkuu kabisa mi nashangaa tu jamani jamaa wa wivu kishenzi
Yani baada ya kuongelewa na mimi nimeanza notice hahaha huwa naangalia kama kweli umepost ili nimalizie hiyo research[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] bado unanifatilia tu [emoji3][emoji3][emoji3]
Kama vile tuliwaza pa1 alafu wewe ukapost[emoji3]Ata mi naona mshana atafaa sana ikishindika wakwe wakileta fyokofyoko ananisaidia kutumia mambo yake yale ee???
Ya kweli hayo? Nilichowahi kusikia Fid aliwahi kumgonga wakati anafanya Planet Bongo na Fid kipindi hicho bonge la hardcoreAY amepiga sana iyo toto, nahisi mpaka leo yeye ndio boy pekee ambaye Salama kafa kaoza
Huwez mpata huyo ana dem mkali kinomaEbu chekini picha za mtoto alivyo mkali kinoma!!!
Sijui nimtume naaani????
View attachment 516646
View attachment 516647
View attachment 516648
Ahaaaaa[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] bado unanifatilia tu [emoji3][emoji3][emoji3]