Ninani KAWAPANGiA HAWA SEMUNGE?

NATA

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2007
Posts
4,492
Reaction score
1,313
Hivi nauli za za kutoka Arusha kwenda Samunge kwa Elicopter zimepangwa na nani?
Nauli za safari zote nchini nadhani zinapangwa na mamlaka husika.

Sasa hivi vindege vya kutoka nchi jirani nani kavipangia hiyo bei?
 
Hivi nauli za za kutoka Arusha kwenda Samunge kwa Elicopter zimepangwa na nani?
Nauli za safari zote nchini nadhani zinapangwa na mamlaka husika.

Sasa hivi vindege vya kutoka nchi jirani nani kavipangia hiyo bei?

Nijuavyo mimi hakuna mamlaka inayopnga nauli za ndege. Ila ushindani ndo hu-determine nauli. Si unakumbuka PW walikuwa wanalipisha karibu laki nne kwa safari ya DAR-MZA -DAR wakati sasa baada ya ujio wa Fly540 wameshuka hadi laki na kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…