Ninaomba kujuzwa kuhusiana na fao la uzazi la PSPF.

Gmpa

Senior Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
137
Reaction score
45
Ninaomba kujuzwa kuhusiana na fao la uzazi la PSPF.
Nina mke wangu ni mtumishi alijifungua mwezi June 2018.

Hivyo alijaza fomu stahiki kwaajili ya kupata fao hilo la uzazi. Majibu aliyopewa ilikuwa baada ya miezi 3 atapewa pesa yake, lakini hadi leo bado kimya.

Je, baada ya mifuko kuunganishwa fao la uzazi kwa kina mama limeondolewa?

Naomba kuwasilisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…