Ninaomba kupata ushauri kutoka kwa watalaam wa afya kuhusu usalama wa samaki wanaofugwa katika ziwa Victoria

Ninaomba kupata ushauri kutoka kwa watalaam wa afya kuhusu usalama wa samaki wanaofugwa katika ziwa Victoria

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
1741527150309.jpeg

Kumekuwa na wimbi kubwa la ufugaji wa samaki Kanda ya Ziwa na hasa Jiji la Mwanza. Masoko mengi jijini Mwanza yamejaa hawa samaki wanaofugwa na ndiyo wanauzika kwa wingi.

Ninaomba kuelemishwa kama hawa samaki ni salama kwa kuliwa kwa ajili ya afya zetu. Wachina ndo wamejenga viwanda vya kutengeneza vyakula vyao. Samaki hawa wasije wakafanana na kuku wa kisasa ambao kwa asilimia kubwa siyo salama kwa afya ya binadamu kutokana na chakula wanachopewa. Ninaomba Watalaam wa afya watuhakikishie ubora wa samaki hawa.
 
Back
Top Bottom