The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Mhali gani ndugu,mimi baba yangu anaumwa kisukari aina ya Type 1 ,niko tayari kwenda kokote duniani nimpe zawadi ya kupona ameshatumia insulin kwa miaka minne sasa kwenye mitandao nimezunguka sjapata mwanga ,naomba mungu awaongoze mnitolehi hili hangaiko kuu