pole sana,,,but hakuna tiba za kisukari ile kinachotakiwa hiyo sindano ya insullin asiache kutumia then its better zaid akiwa anapima mara kwa mara blood sugar iko kias gan before using insulin coz kuna sku zingne sukar huwa inakuwa normal,,then ajitahid sana kutokula vitu vya sukar nying ,afanye mazoez mara kwa mara,,,asante na apunguze stress about diabetic mellitus aendelea na kaz zake za kawaida za kila sku,,hapo ataishi kama kawaida.