Habari ndugu,
Ninaomba msaada wa kufahamu utaratibu wa kuomba tenda za kazi ndogo ndogo zinazotolewa na Ubalozi wa Marekani . Nimefuatilia kwenye website yao, lakini maelezo yao hayajitoshelezi.
Hivyo yeyote mwenye ufahamu au mwenye ndugu/rafiki/jamaa ambaye yupo Ubalozi wa Marekani ninaomba connection yake, nina amini anaweza kuwa daraja kwenye hili.
Napatikana Whatsap namba: 0747 642 122
Asanteni sana na Mungu aendelee kuwabariki.
Ninaomba msaada wa kufahamu utaratibu wa kuomba tenda za kazi ndogo ndogo zinazotolewa na Ubalozi wa Marekani . Nimefuatilia kwenye website yao, lakini maelezo yao hayajitoshelezi.
Hivyo yeyote mwenye ufahamu au mwenye ndugu/rafiki/jamaa ambaye yupo Ubalozi wa Marekani ninaomba connection yake, nina amini anaweza kuwa daraja kwenye hili.
Napatikana Whatsap namba: 0747 642 122
Asanteni sana na Mungu aendelee kuwabariki.