Ninaomba msaada wenu

KAUMZA

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2010
Posts
699
Reaction score
237
Wana jukwaa! Nilinunua laptop mwaka 2008 ikiwa inatumia windows vista basic. Miezi michache iliyopita niliipeleka kwa mtaalamu mmoja akanishauri nibadilishe windows na akaniwekea windows 7. Cha ajabu ni kuwa baada ya kuwa natumia internet mara kwa mara kuna mabadiliko yametokea. Kwanza screen imebadili rangi na kuwa nyeusi lakini pia kuna maandishi yafuatayo yanajitokeza. THIS COPY OF WINDOWS IS NOT GENUINE. Nifanyaje kutibu tatizo hili, maana hata raha ya kuitumia laptop yangu imeisha. Na jamaa aliyenibadilishia hito windows, kila nikimtafuta ananikimbia.
 

Ulimpa shilingi ngapi uyo mtalaaam

kifupi alikuwekea window 7 ya mazabe . kama wewe ni technical IT user sio issue kubwa unaweza kudeal nayo na kuiondoa. zipo tools za kuondoka kero hiyo. lakini kuna risk za hutakiwi kuwa unafanya update ya windows usiyojua inafanya nini

Jaribu kutumia youtube kuona kama unaweza kufuata maelekezo ya video na kirafiki zaidi ya kundokana na tatizo hilo

Mfano




Vile vile unaweza kusoma site ya huyu mtaaalam http://www.geekmontage.com/how-to-uninstall-windows-7-activation-update-kb971033/ Ameeleza ambo yanyotakiwa kufanyika.


Otherwise kama huna uwezo wa utundu mwenyewe mtafute mtaalam mwingine akupe ushauri na msisitizie akueleze kila risk na faida ya ushauri wake. Na kurekebisha tatizo fundi ataatumia moja ya njia zilizotajwa hapo kwenye link hapo juu au kwenye hizo video za youtube

sometime cheap can be expensive espcially if u have no techincal competency
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mtazamaji! Kifupi ni kuwa alinilamba 15,000. Nitatekeleza ushauri wako. Thanx million times
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…