peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Wakuu, nimelala nikiwaza namna ya kupata CV niliyoutaja hapo juu.
Wengi tutajiuliza,ninaitafuta ya kazi Gani?
Niwe muwazi kuwa ubinafishwaji wa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro ( KIA), ubini wake nimeuona unafanana na kile watanzania wengi wanachokiwaza.
Nikiipata,nitaweka wazi Kila kitu kinachohusu mkataba wa KIA Jf
Uzi huu,ninaomba usifutwe,mtakuja kunikumbuka.
Wengi tutajiuliza,ninaitafuta ya kazi Gani?
Niwe muwazi kuwa ubinafishwaji wa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro ( KIA), ubini wake nimeuona unafanana na kile watanzania wengi wanachokiwaza.
Nikiipata,nitaweka wazi Kila kitu kinachohusu mkataba wa KIA Jf
Uzi huu,ninaomba usifutwe,mtakuja kunikumbuka.