Ninaomba mwenye uwelewe zaidi juu ya HIV

Liborio

Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
69
Reaction score
37
Ninaomba mwenye uwelewe zaidi juu yaHiv
Juzi nilipima na mpz wang cha kishangaza majb yalikuwa fresh baada ya zile dak 5 mpaka 10Ila cha kushangaza nilipoamka Asbh majb nilikuta yapo tofauti. Kiukweli poz lote liliisha. Nikamwita doctor akaniambia kuwa huwa inatokeaga. Akaja na hcho cha Pembeni kinaonesha kuwa yupo sawa. NAOMBA MSAADA WENU WADAI
 
Kapime sehemu nyingne tofauti au mwambie akupime kwa kipimo tofauti na hicho.
 
Doctor keshakuambia sasa unataka nini tena? Hata ungekuwa na ukimwi si sawa tu unataka uishi mpk lini?
 
Vipi hivyo vifaa vinauzwa madukan na ww upo wapi
 
Upo sawa tunachoangalia ni mda ule reaction inapotokea maana bioline test ikikaa mda inaweza badilika badilika baada ya kupima ila pamoja na mabadiliko hayo haiwezi onyesha exactly kama una hiv na huku hauna

HIV inatokea endapo mstari utasimama kwenye 1 au 2 au vyote kwa pamoja
 
Thx Hai ila bro Amani hauwez kuwa nayo.
 
Ili uwe hauna mstari unatakiwa uwe wapi?
 
Unafosi kuwa HIV +ve? Anyway, kuwa na amani wewe uko poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…