Ninaomba ushauri wa uwekezaji wanaJF

Ninaomba ushauri wa uwekezaji wanaJF

Hammer11

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
1,518
Reaction score
2,174
Kama nilivyowaambia awali, yule shemeji yenu Mkenya alienda nchi za Gulf kufanya kazi. Sasa imepita miezi miwili, na kila akipokea pesa huwa ananitumia Ksh 10,000 kila mwezi. Kwa haraka haraka, ni kama Tsh 200,000 za mama Kizimkazi.

Pesa anazonitumia ni za kujikimu tu, lakini mimi nina pikipiki na napiga kazi zangu, hivyo najimudu. Sasa nina malengo naye kweli, nataka nimuoe. Lakini nawaza, je, niwekeze hapa Kenya au nifanye mpango niwekeze Tanzania nyumbani? Mpaka sasa niko njia panda, sijui nifanye nini. Naomba ushauri wenu, wadau.
 
Kamwe usijichanganye kujenga ukweni
 
Kama nilivyowaambia awali, yule shemeji yenu Mkenya alienda nchi za Gulf kufanya kazi. Sasa imepita miezi miwili, na kila akipokea pesa huwa ananitumia Ksh 10,000 kila mwezi. Kwa haraka haraka, ni kama Tsh 200,000 za mama Kizimkazi.

Pesa anazonitumia ni za kujikimu tu, lakini mimi nina pikipiki na napiga kazi zangu, hivyo najimudu. Sasa nina malengo naye kweli, nataka nimuoe. Lakini nawaza, je, niwekeze hapa Kenya au nifanye mpango niwekeze Tanzania nyumbani? Mpaka sasa niko njia panda, sijui nifanye nini. Naomba ushauri wenu, wadau.
Nyoosha MAELEZO yaani unamaanisha nn
 
Kama nilivyowaambia awali, yule shemeji yenu Mkenya alienda nchi za Gulf kufanya kazi. Sasa imepita miezi miwili, na kila akipokea pesa huwa ananitumia Ksh 10,000 kila mwezi. Kwa haraka haraka, ni kama Tsh 200,000 za mama Kizimkazi.

Pesa anazonitumia ni za kujikimu tu, lakini mimi nina pikipiki na napiga kazi zangu, hivyo najimudu. Sasa nina malengo naye kweli, nataka nimuoe. Lakini nawaza, je, niwekeze hapa Kenya au nifanye mpango niwekeze Tanzania nyumbani? Mpaka sasa niko njia panda, sijui nifanye nini. Naomba ushauri wenu, wadau
Jenga nyumbani kwenu Tena kiwania hakikisha kina jina lako
 
Back
Top Bottom